| Makundi mbalimbali yakiwa katika maandamano ya maadhimisho siku ya Uchangiaji damu iliyofanyika Mkoani Kigoma. |
| Makundi mbalimbali yakiwa katika maandamano ya maadhimisho siku ya Uchangiaji damu iliyofanyika Mkoani Kigoma. |
| Mama Salma Kikwete akikagua mabanda ya maonesha katika uwaja wa Lake Tanganyika siku ya maadhimisho ya Uchangiaji damu iiyoadhimishwa Ktaifa Mkoani Kigoma. |
| Wananchi wakijitokeza kuchangia damu wakati wa maadhimisho ya siku ya uchangiaji damu yaliyofanyika Kitaifa Mkoani Kigoma. |
| Mgeni rasmi akipewa maelezo ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na Mpango wa Taifa wa Damu Salama Tanzania (NBTS). |
| Moja ya makundi mbalimbali yaliyojitokeza katika maandamano siku ya maadhimisho ya uchangiaji damu iliyofanyika kitaifa Mkoani Kigoma. |
| Kikundi cha ngoma kutoka nchi ya Burundi kikitoa burudani katika maadhimisho ya siku ya uchangiaji damu Kitaifa katika uwanja wa Lake tanganyika Mkoani Kigoma. |
| Mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya damu salama Mhe. mama Salma Kikwete akizindua mfumo wa kielektroniki wa kutunza kumbukumbu za wachangiaji damu uliotolewa kwa msaada wa nchi ya Marekani. |
| Mkuu wa wilaya ya Kibondo Bw. Venance Mwamoto akipokea cheti cha utambuzi katika kuhamasisha uchangiaji damu ambapo vyeti hivyo vilitolewa kwa Wakuu wa wilaya zote za Mkoa wa Kigoma. |
No comments:
Post a Comment