Wednesday 14 December 2016

ZIARA YA MKUU WA MKOA WA KIGOMA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIGOMA NA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI



Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga akisikiliza kero mbalimbali katika Kijiji cha Nkungwe Wilayani Kigoma.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga (mwenye koti) akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Mhe. Samson Anga (kulia) wakiwa katika kazi ya kukagua Miundombinu katika kijiji cha Bitale iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Meneja wa SIDO Mkoa wa Kigoma Bw. George Ntahamba akitoa ufafanuzi mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga wa namna SIDO inavyowasaidia wajasiriamali  Mkoani Kigoma. 


Sehemu ya eneo la SIDO lililotengwa maalum kwa Shughuli za kuchakatia mazao ya mchikichi.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga akikagua taarifa ya mapato na matumizi katika kijiji cha Mayange baada ya kuelezwa kuwa uongozi wa kijiji hautoi taarifa za mapato na matumizi ya kijiji hicho.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga (mwenye shati la kitenge) akikagua Miundombinu ya stendi ya Mabasi ya Mkoa wa Kigoma iliyopo eneo la Masanga katika Manispa ya Kigoma Ujiji.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga akitoa maelekezo ya uboreshaji Miundombinu katika Soko la Mwanga Sokoni lililopo eneo la Manispaa ya Kigoma Ujiji.

Vichanja vya Kisasa vitakavyotumika kuanikia dagaa katika Mwalo wa Kibirizi ufukweni mwa Ziwa Tanganyika, vichanja hivyo vimejengwa kwa msada kutoka Shirika la Maendeleo la Ubelgiji.




Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Soko la Mwanga Manispaa ya Kigoma Ujiji Bw. Raymond Ndhabhiyegetse akitoa maelezo kwa  Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga kuhusu kero mbalimbali zinazolikabili soko hili.


Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga akisikiliza kero kutoka kwa wafanyabiashara eneo la Mwalo wa Kibirizi uliopo katika Manispaa ya Kigoma Ujiji.


Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa Bw. Moses Msuluzya akitoa ufufanuzi kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga wakati wa kukagua na kusikiliza kero katika Soko la Mwanga Manispaa ya Kigoma Ujiji.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga akikagua utunzaji wa vyanzo vya maji katika kijiji cha Kagongo Katika Halmshauri ya Wilaya ya Kigoma.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga wakikagua ujuenzi unaoendelea katika daraja dogo katika kijiji cha Bitale iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Brigedia Jenerali Emanuel Maganga akitembelea maeneo mbalimbali ndani ya Soko la Mwanga Sokoni lililopo eneo la Manispaa ya Kigoma Ujiji.


Habari zote na

G.D. Ng'honoli


  Afisa Habari na Mawasiliano wa Sekretarieti ya Mkoa wa


 Kigoma

No comments:

Post a Comment